Mshitakiwa akana maelezo yake, adai hajui kilichomuua mkewe
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Baraka Shija anashtakiwa kwa kosa la kumuua kwa makusudi mkewe, Grace Daudi Juni 23, 2022 ..read more
Visit website
Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Imeelezwa kuwa Manispaa na halmashauri nchini zimezua tabia ya kujenga shule zenye mkondo wa Kiingereza kwa maana ya ‘English Medium ..read more
Visit website
Namna makachero walivyomdaka mwizi wa bastola
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Mwaipopo alikamatwa na maofisa wa polisi katika Kituo cha Basi cha Bomang’ombe, Wilaya ya Hai, Januari 25 2018 ..read more
Visit website
Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti -Bara, Tundu Lissu watashiriki maandamano hayo na ratiba imetolewa ikieleza namna watakavyoyaongoza ..read more
Visit website
Waziri asimulia alivyosaidiwa kusomeshwa na Sokoine
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Ni nadra kwa kiongozi mwenye mafanikio ya kielimu, kiuchumi na kisiasa kuelezea mapito yale, lakini sio kwa Naibu Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa ambaye anasema bila hayati Edward Sokoine asingefika alipo ..read more
Visit website
Kizungumkuti ununuzi magari ya ma-RC, DC
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Imedaiwa kuwa, gari lenye thamani ya Sh60 milioni ‘linaoza’ kwa sababu ya matairi ya Sh2.4 milioni au kipuri cha Sh500,000, linatelekezwa kwa miezi sita baadaye linauzwa Sh3 milioni ..read more
Visit website
Takukuru Geita yabaini kasoro kwenye miradi 1,800
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Kwa mujibu wa Ofisa Takukuru mkoa wa Geita, Maganga Dominick, baadhi ya miradi iliyobainika kuwa na kasoro ni ya afya, ujenzi, elimu, maji, umeme na kilimo ..read more
Visit website
Mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kuzikwa leo
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Mazishi yatafanyika majira ya saa 10 jioni kwenye makaburi ya Kola Morogoro ..read more
Visit website
Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Zanzibar licha ya kuwa na miundombinu ya barabara, bado ina safari ndefu ya kuziwezesha kuwa na sifa hiyo ..read more
Visit website
Moravian yapata Askofu Mkuu, kuapishwa Juni 2
Mwananchi | Tanzania's leading newspaper
by
1d ago
Viongozi wa dini wa ndani na nje ya nchi kutoka mataifa sita duniani sambamba na umoja wa jumuiya ya maridhiano, wanatarajiwa kuhudhuria kuapishwa kwa Mchungaji Pangani ..read more
Visit website

Follow Mwananchi | Tanzania's leading newspaper on FeedSpot

Continue with Google
Continue with Apple
OR